Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 20, 2018

Dawa mbadala ya kutibu uke mkubwa au ulio legea

DAWA MBADALA ZINAZOTUMIKA KUREJESHA UKE MKUBWA AU ULIOLEGEA Jinsi gani ya kukaza uke au ni namna gani kufanya uke uwe mdogo tena ni mada au somo lisilopendwa kuzungumzwa na watu wengi. Ikiwa wewe ni mmoja wa waathirika na tatizo hili basi tumia muda wa kutosha kusoma makala hii sasa hivi, irudie mara nyingi mpaka umeielewa. Kwenye makala hii nakwenda kukuonyesha baadhi ya mbinu za jinsi gani ya kurudishia tena uke mkubwa au uliolegea na kuwa mdogo tena ukiwa nyumbani bila kuhitaji kutumia matibabu mengine ya bei kubwa. KINACHOSABABISHA UKE KULEGEA Uke kulegea au kuwa mkubwa zaidi unaweza kutokea kutokana na sababu nyingi. Kumbuka pia kushiriki tendo la ndoa mara chache siyo suluhisho la kuwa na uke mdogo. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa kuwa na uke mkubwa na kushiriki tendo la ndoa mara nyingi. Pia hakuna uhusiano wa umri na ukubwa wa uke. Wapo wamama watu wazima wana uke mdogo pia kuna wasichana wadogo kabisa wana uke mkubwa kupitiliza. Watu wengine huamini kuwa mwanamke mw

Jitibu aleji kwa kutumia binzari

Jitibu aleji kwa kutumia Binzari Published by fadhili on 27/08/2017 Jitibu aleji kwa kutumia Binzari Je unatafuta dawa ya asili nzuri na yenye uhakika ya kutibu aleji? Umechoka kutumia dawa zenye kemikali zinazokuacha na madhara mengine baada ya kuzitumia? Kama ni ndiyo basi manjano inaweza kuwa mbadala mzuri wa kuuendea ili kujitibu na aleji. Ni mhimu kwamba unafanikiwa kujitibu aleji mapema kabla haijawa sugu. Hata hivyo manjano au binzari ni dawa nzuri ya asili kwa kutibu aleji. Unahitaji kufahamu zaidi namna inavyofanya kazi? Endelea kusoma Jitibu aleji kwa kutumia manjano: Labda kama una aleji tena na binzari, kinyume na hapo unatakiwa utumie kama dawa yako mbadala ya kukutibu aleji. Ni dawa yenye nguvu ya asili ya kutibu aleji sababu ina vitu vinavyoweza kudhibiti dalili mbalimbali za aleji. Namna ya kutumia binzari kujitibu na aleji: 1. Manjano ina kitu kinaitwa ‘curcumin’ ambacho ndicho kinahusika katika kudhibiti dalili mbalimbali za aleji 2. Kiungo hiki manjano kin

Dawa 10 mbadala zinazo tibu shinikizo la chini la damu

Dawa mbadala 10 zinazotibu shinikizo la chini la damu Published by fadhili on 08/09/2017 Dawa mbadala 10 zinazotibu shinikizo la chini la damu Shinikizo la chini la damu hujulikana pia kama hypotension kwa Kiingereza. Ni hali ambayo shinikizo la damu ya mtu linakuwa chini sana na kusababisha dalili kama kizunguzungu, uchovu, udhaifu, kupumua kwa shida, kupungua kwa nuru ya macho nk Utaambiwa una shinikizo la kawaida la damu kama vipimo vitasoma una 120/80 mm Hg. Hata hivyo ikiwa vipimo vitasoma una 90/60 mm Hg au chini ya hapa, utaambiwa una shinikizo la chini la damu. Shinikizo la damu linapokuwa chini zaidi linaweza kupelekea msukumo ulio chini wa damu kwenye ogani kama ubongo, figo, na kwenye moyo. Tatizo hili linaweza kusababishwa na vitu kama kupungua kwa maji mwilini, kulala sana, lishe duni, kushuka kwa wingi wa damu, matatizo ya moyo, ujauzito, homoni kutokuwa sawa na kadharika. Baadhi ya dawa za hospitalini pia zinaweza kusababisha tatizo hili. Unaposhughulika na shin

Madawa mbadala 6 ya kutibu ganzi ya mikono na miguu

Dawa mbadala 6 zinazotibu ganzi mikononi na miguuni Published by fadhili on 17/11/2017 DAWA MBADALA 6 ZINAZOTIBU GANZI MIKONONI NA MIGUUNI Ganzi mikononi na miguuni inamaanisha kukosekana kwa fahamu katika sehemu hizo. Hisia ndiyo inakosekana sababu kunakuwa hakuna damu na neva zinakosa mawasiliano rya moja kwa moja na ubongo. Ni jambo la kawaida linalowapata watu wengi sana miaka ya hivi karibuni. Kinachosababisha ganzi mwilini ni pamoja na: 1. Shinikizo la muda mrefu kwenye miguu na mikono 2. Kuwa karibu na vitu vyenye baridi sana kwa kipindi kirefu 3. Mabadiliko ya muda mfupi kwenye neva 4. Ajali kwenye neva 5. Kunywa pombe kupita kiasi 6. Uvutaji wa sigara na bangi 7. Uchovu sugu 8. Kutokujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara 9. Ukosefu wa vitamini B12 na Magnesiamu 10. Ugonjwa wa kisukari nk Kwa kawaida ganzi inayotokea kwa dakika kadhaa na kupotea huwa haina shida yoyote lakini onana na daktari mapema ikiwa inakutokea mara kwa mara na pia ikiwa inakutok

Jifunze ufugaji wa kuku wa nyama (broilar) katika eneo dogo

JIFUNZE UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA (BLOILER) KATIKA ENEO LISILOZIDI MITA 1 KWA KUKU 100 Uakika media /  3 weeks ago   Eneo linalohitajika ni mita mbili (2), Kwa maana ya Urefu wa mita mbili (2) na Upana wa mita moja (1). Huu ni ufugaji wenye tija kwa wale wafugaji wenye eneo dogo. Kinakachofanyika katika hilo eneo ni ujenzi wa ghorofa/shelves tano(5) kwenda juu kwa ajili ya kufugia kuku. Urefu unaoshauriwa wa kila shelf/chumba kimoja ni futi moja na nusu hadi mbili. Katika kilachumba/shelf unashauriwa kuweka kuku ishirini, kwa maana ya kuku 10 katika eneo la mita 1. Ukichukua idadi ya kuku katika kila chumba (20) mara idadi ya vyumba 5, watapatikana kuku mia(100) katika eneo la mita 2. Kumbuka kuwa unaweza kufanya mabadiliko mengine kulingana na eneo utakaloweka ghorofa la kuku.

Kanuni za kuandaa kitalu cha mbogamboga

KANUNI ZA KUANDAA KITALU CHA MBOGAMBOGA. Uhakika media  /  4 days ago ·           Tengeneza tuta la kubwa wa 1m x 2m (ama urefu unaoona wewe kuwa unakufaaa ila tu upana ubaki kuwa 1mita) . Urefu na idadi ya matuta hutegemea kiasi cha mbegu. Kiasi cha mbegu kwa hectare moja ni kilo 6 au 2 kg kwa eka. ·           Weka samadi iliyooza vizuri kiasi cha debe moja au mchanganyiko wa mbolea ya TSP na CAN (200gm) kwa uwiano wa 1:1 kwenye tuta changanya vizuri na udongo. ·           Sia mbegu kwenye mistari kwa nafasi ya 1 sm x 20 sm. Tawanya mbegu vizuri wakati wa kusia ili miche isisongamane. ·           Funika mbegu na weka matandazo ya nyasi kavu juu ya tuta na mwagiliwa maji. Udongo unatakiwa kuwa na unyevu kiasi mpaka mbegu ziote. ·           Nyasi ziondolewe mara tu mbegu zikiota . ·           Miche itunzwe vizuri na kitalu kiwe katika hali ya usafi. ·           Miche imwagiliwe maji mpaka ifikie umri wa kupandikiza shambani. ·           Sehemu ya k

Kanuni za kuandaa kitalu cha mbogamboga

KANUNI ZA KUANDAA KITALU CHA MBOGAMBOGA. Uhakika media  /  4 days ago ·           Tengeneza tuta la kubwa wa 1m x 2m (ama urefu unaoona wewe kuwa unakufaaa ila tu upana ubaki kuwa 1mita) . Urefu na idadi ya matuta hutegemea kiasi cha mbegu. Kiasi cha mbegu kwa hectare moja ni kilo 6 au 2 kg kwa eka. ·           Weka samadi iliyooza vizuri kiasi cha debe moja au mchanganyiko wa mbolea ya TSP na CAN (200gm) kwa uwiano wa 1:1 kwenye tuta changanya vizuri na udongo. ·           Sia mbegu kwenye mistari kwa nafasi ya 1 sm x 20 sm. Tawanya mbegu vizuri wakati wa kusia ili miche isisongamane. ·           Funika mbegu na weka matandazo ya nyasi kavu juu ya tuta na mwagiliwa maji. Udongo unatakiwa kuwa na unyevu kiasi mpaka mbegu ziote. ·           Nyasi ziondolewe mara tu mbegu zikiota . ·           Miche itunzwe vizuri na kitalu kiwe katika hali ya usafi. ·           Miche imwagiliwe maji mpaka ifikie umri wa kupandikiza shambani. ·           Sehemu ya k

Fanya yafuatayo kuepuka magonjwa ya mlipuko ya kuku

FANYA YAFUATAYO KUEPUKA MAGONJWA YA KUKU YA MLIPUKO. Uhakika media  /  1 week ago   Mlipuko wa magonjwa ni moja ya sababu za hasara kubwa kwa wafugaji na vifo vinavyotokea kwa wakati mmoja. Pindi mfugaji anapokumbwa na janga la vifo vya ndege, kabla ya kufikia mwisho wa mzunguko wa uzalishaji hivyo basi asitarajie kupata faida nzuri mara baada ya mauzo. Hasara itokanayo na vifo inaweza kuepukika au kupunguzwa na kutokea kwa kiasi kidogo. Hili linawezekana, ifuatayo ni namna ya kufanikisha hilo;- 1. Osha vyombo vya maji kila wakati na mwaga maji yaliyobaki. Hakikisha unamwaga maji yaliyosalia mbali na kuosha chombo na sabuni kila siku, weka maji safi yasiyo na dawa na wala usitumie maji ya mto au yale usiyoyajua chanzo chake. Kama utaweka maji dawa basi tumia ‘vitamini’ muhimu kama ‘vitalyte’ ambazo zinasaidia kuua vijidudu. 2. Wape maji kabla ya chakula. Ndege wapo tofauti na binadamu au wanyama wengine. Hakikisha unawapa maji kabla ya chakula hasa kama unatumia maranda, h

Ufahamu ugonjwa wa mafua ya kuku kiundani zaid

UFAHAMU UGONJWA WA MAFUA YA KUKU KIUNDANI ZAIDI. Uhakika media  /  5 days ago  MAGONJWA YA KUKU/TIBA/KINGA. Habari ya uzima ndugu mfugaji, ni matumaini yangu u mzima. Mimi ni mzima na leo tunaanza somo letu la magonjwa ya kuku, tutaongelea magonjwa ya kuku, dalili, tiba na chanjo endelea kuwa pamoja nasi. FAIDA ZA KUZINGATIA TIBA/CHANJO. •Hupunguza athari za kiuchumi zitokanazo na maambukizi.  • Hulinda afya za kuku ambao hawajaambukizwa.  • Hupunguza kuenea kwa maambukizi kutoka kuku wagonjwa kwenda kuku wasio wagonjwa.  • Huwakinga wanadamu wasipate maambukizi kutoka kwa kuku wagonjwa.  • Huzalisha kuku na bidhaa zenye ubora wa juu ambazo hupata bei nzuri sokoni. Hatua Za Tahadhari Za Kuzuia Kuingia Na Kuenea kwa Magonjwa Shambani. 1. Tenganisha ndege kufuatana na aina ya ndege na umri wao  2. Weka karantini kwa ndege/kuku wapya ili wachunguzwe kwa kipindi kisichopungua wiki mbili  kabla ya kuingizwa shambani au bandani.  3. Usiruhusu tabia ya kuchangia vifaa