Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Dawa mbadala ya kutibu uke mkubwa au ulio legea

DAWA MBADALA ZINAZOTUMIKA KUREJESHA UKE MKUBWA AU ULIOLEGEA
Jinsi gani ya kukaza uke au ni namna gani kufanya uke uwe mdogo tena ni mada au somo lisilopendwa kuzungumzwa na watu wengi.
Ikiwa wewe ni mmoja wa waathirika na tatizo hili basi tumia muda wa kutosha kusoma makala hii sasa hivi, irudie mara nyingi mpaka umeielewa.
Kwenye makala hii nakwenda kukuonyesha baadhi ya mbinu za jinsi gani ya kurudishia tena uke mkubwa au uliolegea na kuwa mdogo tena ukiwa nyumbani bila kuhitaji kutumia matibabu mengine ya bei kubwa.
KINACHOSABABISHA UKE KULEGEA
Uke kulegea au kuwa mkubwa zaidi unaweza kutokea kutokana na sababu nyingi. Kumbuka pia kushiriki tendo la ndoa mara chache siyo suluhisho la kuwa na uke mdogo. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa kuwa na uke mkubwa na kushiriki tendo la ndoa mara nyingi.
Pia hakuna uhusiano wa umri na ukubwa wa uke. Wapo wamama watu wazima wana uke mdogo pia kuna wasichana wadogo kabisa wana uke mkubwa kupitiliza.
Watu wengine huamini kuwa mwanamke mwenye uke mkubwa na mlegevu ametembea na wanaume wengi sana, jambo hilo sio kweli kwani hakuna uume unaoweza kufanya hivyo ila mwanamke aliyezoea uume mkubwa anaweza kupata shida kufurahia tendo la ndoa akipata mwanaume mwenye uume mdogo.
Kama ilivyo kwa uume kwamba wanaume wana uume wenye ukubwa tofauti tofauti kadharika wanawake nao kila mwanamke ana uke wa ukubwa tofauti tofauti tofauti.
Kwa kawaida hakuna mwanaume anayependa kushiriki tendo la ndoa na mwanamke mwenye uke mkubwa. Kuna tetesi zisizo rasmi kuwa hata wanaume wanaopenda kushiriki tendo la ndoa kinyume na maumbile na wake zao huanza tabia hiyo mara baada ya kuona uke umelegea kiasi cha kutokuwa na radha tena.
Uke kulegea ni matokeo ya asili ya kuchakaa na kupanuka kwa kuta zake.
Mfano mara baada tu ya kujifungua misuli ya uke inalegea na kama hutachukua hatua mapema uke unaweza kupoteza hali ya kujibana tena na kurudi kwenye saizi yake ya awali.
Je kuna njia za kugundua kama una uke mdogo au mkubwa ? Wanawake wengi hawajui ukubwa wa uke wao kwa kuwa hawawezi kujipima au kuona umuhimu wa kufanya hivyo. Uke unapokuwa katika hali yake ya kawaida kuta zake zinalaliana na kwa wengi kipenyo cha uke hakizidi inch 1 na nusu na urefu wake kati ya inch 3 hadi 4, hata hivyo ukubwa wake hubadilika mwanamke anapokuwa tayari kwa tendo la ndoa. Unaweza kuwa inch 1 au moja na nusu ni ndogo kwa mwanaume kupitisha uume wake, ukweli ni kwamba uke una uwezo wa kutanuka ili uweze kumeza uume. Ukiingia ndani ya uke ukubwa huongezeka zaidi hadi kufikia inch 3.
Kwa wanawake waliozaa hawana budi kukabiliana na ongezeko la ukubwa wa uke wao,kadri watoto wanavyozidi kuongezeka ndivyo ukubwa wa uke uongezekavyo ,hali hii hutokana na uharibifu wa misuli iliomo katika kuta za uke.
Kama uke wako umepanuka zaidi na umekuwepo ulegevu mkubwa matokeo yafuatayo yatakukabili;
1.Hutafurahia tendo la ndoa
2.Mpenzi au mumeo atapata shida kuridhika nawe kutokana na hali ya kupwayapwaya.
3.Unaweza kupata tatizo la hewa kuingia ndani ya uke na kusababisha hali inayofanana na kujamba,jambo linalowakuta wanawake wengi.
Baada ya kujifungua yanakuwepo mabadiliko ya vichocheo muhimu,kichocheo cha Estrogen na Progesterone hupungua na hili husababisha upungufu wa majimaji ya kupunguza msuguano wakati wa kufanya mapenzi.
UTAJUAJE KUWA UKE WAKO UMELEGEA AU KUONGOZEKA UKUBWA?
Wanawake wengi wanagundua kuwa uke wao umebadilika pale mpenzi au mume anapoanza kulalamika au kupoteza hamu ya kufanya mapenzi. Wengine wanashindwa kujua kwanini wapenzi wao au waume zao wamepoteza msisimko wa kufanya mapenzi kama zamani,hapa ndipo unapoonekana umuhimu wa wapenzi kushirikishana mambo mbalimbali katika mahusiano yao bila woga.
Zifuatazo ni ishara za kujua kama huko chini kumelegea au kuwa kukubwa
1. Kama ukiingiza kidole chako ukeni inakuwa vigumu kukibana kwa uke wako
2. Unapokuwa bado hujapata hamu ya kufanya mapenzi,uke wako (tundu ambalo uume huuingia) linakuwa wazi yaani hupati pingamizi lolote ukiingiza kidole.
3. Unaweza kuingiza vidole vitatu au zaidi ndani ya uke wako bila kipingamizi kikubwa.
4. Unapata shida kubwa kufika kileleni.
Sababu kuu za uke kulegea na kuwa mkubwa ni pamoja na:
* Kuzaa mara kwa mara
* Uzito na unene uliozidi
* Kujifungua kwa upasuaji
* Kuinua vitu vizito mara kwa mara
* Mazoezi mazito ya mara kwa mara
* Misukosuko ya siku za nyuma katika nyonga
* Ukomo wa hedhi
* Maumivu sugu nyuma ya mgongo
* Kupiga chafya au kikohozi mara kwa mara
* Kufunga choo au kupata choo kigumu mara kwa mara
Mlolongo huu ni wa asili, hata hivyo kuna hatua unaweza kuzichukua na hivyo kurudishia kifaa chako katika hali ya kawaida kama msichana tena.
Baadhi ya wanawake hupendelea kufanya upasuaji maalumu ili kurudishia maumbile yao kuwa madogo jambo ambalo linaweza kuwa na athari kubwa kiafya hapo baadaye.
Zipo njia za asili unazoweza kuzifuata kukusaidia kukaza tena kifaa chako ukiwa nyumbani na kwa namna za asili bila kukuacha madhara yoyote hapo baadaye.
Ili kufanya misuli ya uke ibane unaweza kutumia njia zifuatazo. Ukiweza jaribu njia 2 mpaka 3 tofauti kwa siku kwa matokeo yenye uhakika zaidi.
Mbinu mbalimbali zinazotumika kurejesha uke mkubwa au uliolegea
1. Kula chakula sahihi
Moja kati ya njia nzuri zaidi za kupunguza ukubwa wa uke ni kula mlo sahihi ambao utasaidia kujenga afya ya misuli na kuta za uke kwa ujumla.
Kwa mjibu wa watafiti ni kuwa unatakiwa ule zaidi vyakula vyenye kuhamasisha uzalishwaji wa homoni ya estrogen vyakula kama uwatu, komamanga, ufuta, maharage ya soya na bidhaa zake, karoti, tufaa (apple), viazi vikuu (yams) nk.
Vile vile hakikisha unakula vyakula vya asili zaidi na siyo vya dukani au kwenye makopo au kwenye migahawa.
Matunda fresh yanaweza kukusaidia kuwa na harufu nzuri ukeni na kuwa na uke wenye afya. Vile vile kunywa maji mengi kila siku iendayo kwa Mungu na hivyo utakuwa na shepu nzuri ya mwili wako.
2. Jeli ya mshubiri freshi
Kutumia jeli ya mshubiri au aloe vera ni moja ya njia rahisi ya asili ya kukaza uke wako. Kutumia njia hii kwangua jeli (utomvu mweupe) wa ndani wa jani la mmea wa mshubiri ukiwa freshi na upake sehemu yote ya ndani ya uke wako mara 2 mpaka 3 kwa siku kwa wiki 3 hadi 4 na hutakawia kuona matokeo mazuri.
Matumizi ya jeli ya aloe vera kusaidia kupunguza uwezekano wa uke kulegea.
Aloe Vera ni dawa asili iliyothibitika kukaza uke kwa asili bila madhara yoyote mabaya. Ina vitamini nyingi zikiwemo vitamini A, C, folic acid, choline na madini kama zinki, magnesiamu, kalsiamu na sodiamu vyote hivi ni mhimu katika kuhamasisha kukazika kwa uke kwa ujumla.
Mmea huu wa asili hauna ugumu wowote katika matumizi yake. Tumia tu jeli kutoka katika jani freshi la mu-aloe vera na utumie vidole vyako kusambaza ndani ya uke.
Kama jeli hii ikichanganywa na mate kabla ya kupaka ukeni inaweza kutumika kama dawa bora ya kulainisha pia uke mkavu na kufanya tendo la ndoa lenye kuvutia sana.
Nina uhakika kuwa hii siyo mara yako ya kwanza kusikia kuhusu kazi hii ya mmea huu. Mshubiri unatumika katika bidhaa nyingi za vipodozi za asili.
3. Zabibubata (Gooseberry)
Zabibubata ni moja ya dawa asili nzuri zaidi katika kukaza kuta za kifaa chako. Chemsha kwenye moto zabibubata 10 mpaka 12 ndani ya maji upate kama supu hivi nzito. Kisha mimina kwenye chupa safi na utunze sehemu safi na salama.
Pakaa hiyo dawa kila siku ndani ya uke wako dakika 10 kabla ya kwenda kuoga. Hii itaongeza uwezo wa kujibana tena kwa misuli ya kifaa chako.
Kwa hakika zabibubata ndiyo moja ya dawa asili za kubana uke wako tena ambazo unatakiwa uzijaribu huku ukiongeza matunda haya kwenye chakula chako kila mara.
4. Mtindi
Njia nyingine nzuri ya kushughulika na tatizo hili ambayo nataka kukufunulia kwenye makala hii kwako wewe msomaji wangu ni matumizi ya mara kwa mara ya mtindi. Hii ni kwa sababu mtindi unao bakteria wazuri wanaohitajika ili kuuacha uke katika afya nzuri muda wote. Vile vile ukitumia mtindi kila siku ni namna nzuri ya kutibu maambukizi mbalimbali katika uke.
Kikombe kimoja kwa siku (robo lita) inatosha. Unaweza pia kuweka kijiko kidogo kimoja cha chai cha mtindi ndani ya uke wako wakati unaenda kulala na uusambaze vizuri sehemu yote ya ndani ya uke wako.
Mtindi unaweza kutumia wa nyumbani au hata ule wa dukani ni sawa.
5. Kitunguu swaumu
Kitunguu swaumu kinaweza kuwa msaada katika kutibu baadhi ya maambukizi yaliyosababishwa na fangasi. Kutumia kitunguu swaumu mara kadhaa kwa wiki inaweza kuwa njia nyingine nzuri katika kusaidia uke wako kubaki salama na wenye afya.
Vile vile kitunguu swaumu husaidia kuondoa harufu mbaya katika kifaa chako.
* Chukuwa kitunguu swaumu kimoja
* Kigawanyishe katika punje punje
* Chukua punje 3 au 4
* Menya punje moja baada ya nyingine
* Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10
* Meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala.
Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.
6. Mbegu za uwatu
Chemsha maji kikombe kimoja (robo lita) kisha tumbukiza vijiko vikubwa viwili vya mbegu za uwatu ndani yake na ufunike kisha acha kwa usiku mzima mpaka asubuhi.
Asubuhi kunywa hayo maji na ule hizo mbegu pia. Fanya zoezi hili mara 3 TU kwa wiki na uenndelee na zoezi hili mpaka kifaa chako kimerudi na kuwa kidogo. Hii inasaidia pia kupunguza uzito.
Mhimu – Wanawake wajawazito au wenye saratani ya matiti wasitumie dawa hii.
7. Unga wa mbegu za embe
Unga wa mbegu za embe ni dawa nyingine nzuri unaweza kutumia kukaza misuli ya uke wako uliolegea. Ukishakula embe chukua ile kokwa yake ya ndani na uianike juani, ikikauka chukua na uisage upate unga wake.
Changanya unga huu na asali kidogo kisha pakaa ndani ya kuta na sehemu yote ya ndani ya uke kutwa mara 2 kwa majuma kadhaa na uke wako utarudi na kuwa wa kawaida.
Mbegu za embe ni chanzo kizuri cha wanga, mafuta, protini, vitamini E, nyuzinyuzi, magnesiamu, vitamini B12, asidi amino nyingi nk.
8. Vitamini E
Kwa mjibu wa utafiti kuhusu faida za vitamini E ni moja ya vitamini mhimu sana ambazo ni mhimu kwa ajili ya afya bora ya mwili. Inapendekezwa kama dawa ya kutibu kisukari na shinikizo la juu la damu wakati wa ujauzito.
Hata hivyo wanawake wengi hawafahamu ukweli kwamba vitamini E ni dawa nzuri kwa uke mkavu na kufanya kuta za uke zenye afya na nguvu kama itatumika vizuri.
Unahitaji upate mafuta ya vitamini E na uwe unaweka ukeni moja kwa moja mara 1 kwa siku mpaka utakapopata uponyaji unaouhitaji. Huwa kama kidonge hivi lakini ni mafuta na kinapasukia chenyewe ndani ya uke na kusambaa bila shida yoyote.
9. Umhimu wa kufika kileleni
Moja kati ya njia nzuri zaidi zinazoweza kupelekea uke kukaza ni kuhakikisha unafikishwa kileleni unaposhiriki tendo la ndoa.
Watafiti wamethibitisha pasipo na shaka kuwa wakati mwanamke anapokuwa anafika kileleni misuli yake ya ukeni hujikaza na kujifinya vya kutosha tendo linalofanya uke kujikaza na kuwa mdogo kwa asili.
Fanya utafiti. Kama una tatizo la kuwa na uke mkubwa kuna uwezekano mkubwa tatizo halihusiani na sababu nilizozitaja hapo juu. Kuna uwezekano mkubwa hufikishwi kileleni kwa kipindi kirefu au kwa miaka mingi tangu uanze kushiriki tendo la ndoa.
Kama mwenza wako hajuwi ni dalili zipi mwanamke huwa nazo anapofika kileleni mwambie anitafute nitamsaidia kumwelewesha.
10. Fanya mazoezi yafuatayo
KEGEL – Wakati unakojoa mkojo wa kawaida uwe unajizuia kwa sekunde 10 au 15 kisha unaendelea hivyo hivyo, yaani unakojoa kidogo unaacha kwa sekunde 10 tena unakojoa hivyo hivyo huku unapumzika mpaka unamalaiza.
Fanya zoezi hili mara 3 mpaka 4 kwa siku ukienda kupata haja ndogo. Zoezi hili kwa mjibu wa watafiti ni kuwa linasaidia kukaza misuli ya uke.
SQUATS – Hili ni zoezi lingine zuri la kubana uke uliolegea. Ni kusimama na kuchuchumaa, kuchuchumaa na kusimama hivyo hivyo mara 15 kwa mizunguko mitano mara 2 kila siku. Zoezi hili linasaidia pia kuwa na maungo mazuri na faida nyingine nzuri za kiafya.
LEGS UP – Lala chali kisha nyanyua mguu mmoja juu kisha shusha chini na unyanyuwe mguu mwingine juu na ushushe chini hivyo hivyo mguu mmoja juu kisha chini, kisha mwingine juu chini ukichoka unapumzika kisha unaendelea hivyo hivyo kila siku kwa dakika 15 mpaka 20 mpaka kifaa chako kitapokuwa sawa.
Mambo mengine mhimu ya kuzingatia:
*Kuwa msafi kila mara
* Vaa nguo za ndani zinazotengenezwa kwa pamba
* Usitumie pafyumu zenye kemikali
Njia hizi nilizozielezea hapo juu zote ni nzuri katika kurejesha katika saizi ndogo uke ulikokwisha kuwa mkubwa au uliolegea. Chakula na mazoezi pia ni mhimu kuzingatia kwa matokeo mazuri na yenye uhakika.
Wakati mwingine unaweza kuchelewa kuona mabadiliko lakini usikate tama mpaka umefanikiwa. Kwahiyo kama wewe ni mmoja wa watu wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo hili usiichukulie poa hii makala jaribu yaliyopendekezwa humu na uniletee mrejesho.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

PAKUA PICHA ZENYE UJUMBE WA MAPENZI HAPA

KWA WALE WAPENZI WA PICHA ZENYE UJUMBE WA MAPENZI BASI HIZI HAPA Uhakika media 

Dawa 8 zinazo tibu kipanda uso kwa haraka

Uhakika media Dawa za asili 8 zinazotibu kipanda uso kwa haraka Dawa za asili 8 zinazotibu kipanda uso kwa haraka   Kipanda uso ni ugonjwa gani?   Kipanda uso ni maumivu ya kichwa ambapo kichwa kinagonga kweli kweli na mara nyingine inaweza kuwa sehemu ya mbele au upande mmoja wa kichwa ndiyo unapatwa na maumivu haya.   Maumivu haya yanaweza kubaki kwa saa 4 mpaka saa 72. Vile vile dalili za ugonjwa huu zinatofautiana toka mtu mmoja hadi mwingine.   Dalili za Kipanda Uso:   Unaweza kupata baadhi ya ishara za ugonjwa huu kama vile; 1. Kujisikia uvivu, 2. Kutapika, 3. Mauzauza, 4. Kusikia kelele sikioni nk. Wakati mwingine kabla ya kipanda uso watu wengine wanaweza kupatwa na miwasho, shingo nzito, kupiga miayo, kusikia njaa nk Sababu za kutokea kipanda uso mara nyingi ni pamoja na: 1. Mfadhaiko wa akili (stress) 2. Kelele nyingi kuzidi 3. Kuluka kula mlo 4. Pombe 5. Sigara 6. Shinikizo la chi

SIMULIZI NZURI NA ZA KUSISIMUA sehemu ya 1

Simulizi: SINA WA KUMLAUMU (Siitaji Kurudi Nilipotoka) Sehemu ya 1 Uhakika media SIITAJI KURUDI NLIKOTOKA Mwandishi: SEID BIN SALIM SEHEMU YA KWANZA Mwaka mmoja ukiwa umepita tokea binti mwenye umri wa miaka 24 lucky ajiunge na chuo kikuu cha dar es salam UNIVERSITY OF DAR ES SALAM. Marafiki zake aliokuwa anakaa nao chumba kimoja katika hostel waliojulikana kwa majina ya Mariam, Tunu, na amina. Asubuhi na mapema ya wiki end waliamua kumkalisha chini rafiki yao huyo kwa ajili ya kuongea nae mambo flan, kutokana na jinsi walivyokuwa wanaishi nae katika hali ya unyonge na kuonekana hapend kushirikiana na mtu yoyote kimasomo hd starehe za hapa na pale. waliishi nae kama sio mwenzao, walipoitaji ushirikiano wake hakuitaji kuwa nao, muda mwingine walimshuhudia akikaa kiupweke hadi kutoa machozi kwa muonekano wa kuwaza mambo mazito aliyonayo moyoni mwake, walimuonea huruma hasa kwa sababu wao ni watu waongeaji, walimkalia vikao vya kimya kimya walipopata nafasi ya kipeke ya

Hatua za kufuata wakati wa tendo la ndoa

USIJE UMBUKA, SOMA HATUA ZA KUFUATA WAKATI WA KUFANYA MAPENZI....! Uhakika media Wapnzi na wanandoa wengi hivi leo wanapoingia kitandani tayari kwa kuianza safari ya kupeana haki zao za msingi hushindwa kufurahia tendo na hasa hali hii hujitokezwa kwa wanawake kwani mwanaume huwa na haraka iliyopitiliza!   Mwanaume atamkumbatia na kumbusu mwanamke kwa muda mfupi na kabla hata hamasa ya mapenzi ya mwanamke ahaijashika hatama, atamwingilia na ndani ya dakika sekunde ama dakika zisizozidi 3, mwanamme hufika mshindo. Katika hali ya kusikitisha baada ya mwanaume kujitosheleza hujongea pembeni bila kujali mwenza wake hajafika mwisho wa safari hali inayosababisha mwanamke kupoteza hamu ya tendo endapo endapo tabia hiyo ya mwanaume itaendelea. Kunahatua nne muhimu ambazo wapendanao wakizishika na kuzitekeleza ipasavyo basi watafanikiwa kujitosheleza kila wanapokutana na kwa hakika watakuwa miongoni mwa watu wachache wanaofurahia faragha kila wakutanapo! Hatua ya kwanza ni kus

NJIA 10 ZA KUTONGOZA KWA MACHO ZINAZO FANYA KAZI

Njia 10 za Kutongoza Kwa Macho Ambazo Hufanya Kazi Uhakika media   Je wataka kujifunza jinsi ya kutumia macho yako kupitisha ujumbe wa kuonyesha umevutiwa na mtu fulani? Kutumia macho kama mbinu ya kutongoza ni njia rahisi ya kupitisha ujumbe kutoka kwako hadi kwa yule unayemzimia kwa urahisi bila hata kutamka neno lolote. Mwanzo mchezo wa kutumia macho kama mbinu ya kutongoza huwa ina raha yake kiasi flani. Uzuri wa kutumia mbinu hii ni kuwa ni rahisi kufahamu kiwango gani mtu amevutiwa nawe bila kuwauliza kuwatoa out. Pili ni kuwa uzuri wa kutumia mbinu hii ni kuwa unamjulisha unayemzimia na mapema ya kuwa umewavutia hivyo kujitayarisha na mapema iwapo atakubali kufanya maongezi na wewe. So ni mbinu zipi hizo unazoweza kutumia kumvutia unayempenda bila kuonekana kama fala? Njia za kutongoza kwa kutumia macho Utafanya nini iwapo umemuona yule aliyekupendeza katika mkahawa ama katika party ulioalikwa na marafiki zako? Kama hujui la kufanya basi tumia macho yako kumtongoza ili

VIDEO: Mbwembwe za Joti aingia uwanjani kisa Samatta nusra akamatwe na polisi' refa amtoa

VIDEO: Mbwembe za Joti aingia uwanjani kisa Samatta nusra abebwe na polisi, refa amtoa Uhakika media 1  · 12 hours ago Joti ambae ni msemaji wa team Samatta leo ameonyesha vituko vya aina yake ambapo imepelekea baadhi ya mashabiki kuachwa midomo wazi kwa kitendo cha kuingia uwanjani wakati mpira uneendelea baada ya Mbwana Samatta kufanyiwa madhambia kwenye eneo la hatari  TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Madawa mbadala 6 ya kutibu ganzi ya mikono na miguu

Dawa mbadala 6 zinazotibu ganzi mikononi na miguuni Published by fadhili on 17/11/2017 DAWA MBADALA 6 ZINAZOTIBU GANZI MIKONONI NA MIGUUNI Ganzi mikononi na miguuni inamaanisha kukosekana kwa fahamu katika sehemu hizo. Hisia ndiyo inakosekana sababu kunakuwa hakuna damu na neva zinakosa mawasiliano rya moja kwa moja na ubongo. Ni jambo la kawaida linalowapata watu wengi sana miaka ya hivi karibuni. Kinachosababisha ganzi mwilini ni pamoja na: 1. Shinikizo la muda mrefu kwenye miguu na mikono 2. Kuwa karibu na vitu vyenye baridi sana kwa kipindi kirefu 3. Mabadiliko ya muda mfupi kwenye neva 4. Ajali kwenye neva 5. Kunywa pombe kupita kiasi 6. Uvutaji wa sigara na bangi 7. Uchovu sugu 8. Kutokujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara 9. Ukosefu wa vitamini B12 na Magnesiamu 10. Ugonjwa wa kisukari nk Kwa kawaida ganzi inayotokea kwa dakika kadhaa na kupotea huwa haina shida yoyote lakini onana na daktari mapema ikiwa inakutokea mara kwa mara na pia ikiwa inakutok

MBINU 10 ZA KUONGEZA MBEGU ZA KIUME

Mbinu 10 za kuoongeza mbegu za kiume (sperm count) Mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha anahitaji kuwa na mbegu zisizopungua milioni 20, chochote chini ya hapa kinaweza kuwa sababu ya kutokutungisha ujauzito. Ikitokea umegundulika kuwa na mbegu chache, ni nyepesi sana na hazina nguvu za kukimbia vya kutosha basi makala hii itakupa maelezo juu ya mbinu 10 zinazoweza kukusaidia kuongeza uwingi wa mbegu zako bila gharama yoyote. Visababishi vya mbegu kuwa chache: Kuna vitu vingi vinavyoweza kusababisha tatizo la mbegu chache na ugumba kwa ujumla kwa wanaume, kwa bahati nzuri vingi ya vitu hivyo tunao uwezo wa kuvidhibiti kwa kupunguza matumizi yake. Vitu hivyo ni pamoja na: • Vifaa vya kieletroniki – Tafiti zimeonyesha vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta. Unashauriwa kutokuweka

Jinsi ya kurudisha hisia za mapenzi zilizo potea

Jinsi ya kurudisha hisia za mapenzi zilizopotea uhakika media 2  · 9 hours ago Tunaishi kwenye ulimwengu unaoenda kasi sana kiasi kwamba usipokuwa makini, unaweza kujikuta ukimpoteza mtu uliyempenda sana maishani kwa sababu tu ya kutojua namna ya kwenda naye sawa. Inafahamika kwamba mapenzi ni hisia lakini ni wachache wanaoweza kueleza jinsi ya kufanya hisia za mapenzi ziendelee kuwa hai. Siku hizi ndoa nyingi zinaendelea kuwepo kwa sababu ya kudra tu, unakuta mume na mke wanaishi kwa sababu ya mazoea tu lakini si kwa sababu ya mapenzi! Wengine wanakwambia kabisa, ‘mapenzi yalikuwa wakati tunaanzana’! Wanaishi tu ilimradi siku zinaenda, ilimradi wanawalea watoto lakini si kwa sababu ya upendo kati yao. Wengine wanafikia hatua hata ya kulala mzungu wa nne au kutengana vyumba kabisa! Au kwenda kulala vyumba vya watoto, watu haohao Kwa nje mnawaona kama wanapendana lakini kumbe ndani kuna ufa mkubwa kati yao, hakuna tena mapenzi kati yao. Cha ajabu, utakuta watu hawahawa am